Naomba msaada kwenye tuta..............Hili gari lipo kikazi au?!?!!
Jamani hili gari la Serikali (pesa zetu) limebeba mkaa na mazagazaga kibao!!!!. Ninachouliza je hili gari lipo kikazi ? au limetoka shopping kwa ajili ya mkubwa fulani !!!!! au ndo kasi zaidi?
Nilizaliwa tarehe 16/4/1974, Musoma. Ninaishi Mwanza. Napendelea kucheza mpira wa miguu, mpira wa wavu, kuogelea, kuangalia movie, kusikiliza na kuimba nyimbo za injili, na kusoma vitabu.
PIGA +255 714 014 666. Email: princebmukama@yahoo.com
No comments:
Post a Comment